Kikosi cha Simba kikiwa mazoezini
Meneja wa Simba, Cosmas Kapinga amethibitisha taarifa hizo kwa kusema kuwa wawili hao wapo katika hali nzuri kiafya.
Taarifa za awali jana ziliripoti kuwa wawili hao baada ya kugongana walipelekwa hospitali kwa matibabu.
Klabu ya Simba ipo kwenye mazoezi kujiandaa na mchezo wake wa Ligi kuu dhidi ya Mwadui FC, utakaochezwa Jumapili Septemba 17.
Comments
Post a Comment